Jumamosi, Machi 25, 2017

ZIFAHAMU MBIO ZA 'DAREDEVIL'

Picha hizi zinaonyesha zaidi ya wanaume 2,500 ambao walishiriki katika mbio maarufu kama "Daredevil" za mwaka 2017 mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Ijumaa (jana) wakati tukio la misaada lilianza katika miji mitatu nchini humo: mji wa Cape Town,Durban na Nelspruit siku hiyo hiyo.
Katika tukio hilo waandalizi wanajaribu kuongeza uelewa wa umma wa kuzuia saratani kupitia mipango y kilomita 5 na wanaamini kwamba kuzuia ni rahisi kuliko tiba.

0 comments:

Chapisha Maoni