Jumanne, Machi 28, 2017

WAGONGWA NA NDEGE WAKIPIGA SELFIE

Wanawake wawili wamepoteza maisha yao baada ya kugongwa na ndege walipokuwa wakipiga picha za selfie kwenye barabara inayotumiwa na ndege kutua katika uwanja wa ndege mjini Chinipas, Mexico.
Nitzia Mendoza na Clarissa Morquecho wenye umri wa miaka 18 na 17 mtawalia walikuwa wakipiga picha juu ya lori iliyokuwa imeegeshwa pembeni mwa barabara ya ndege walipogongwa na bawa la ndege na kufa papo hapo

0 comments:

Chapisha Maoni