Jumatano, Machi 22, 2017

KIPINDUPINDU CHAZUKA ZAMBIA

Ugojwa wa Kipindupindu umezuka katika wilaya mbili za Kaskazini mwa Zambia, huku watu 70 wakilazwa hospitalini, Wizara ya Afya ya nchini imetoa tarifa Jumanne.
Wezi Kaonga, Kaimu msemaji wa Wizara ya Afya, alisema kipindupindu kilizuka katika wilaya za Chiengi na Mpulungu ingawa hakuna vifo zimerekodiwa hadi sasa.

0 comments:

Chapisha Maoni