Jumatatu, Februari 29, 2016

UGOMVI WA BAJAJ NA DALADALA SI WA TANZANIA TU, HILI LIMETOKEA MISRI

 Madereva wa magari ya teksi nchini Misri walifanya maandamano siku ya Jumamosi katika mji wa Giza dhidi ya kampuni mpya inayotoa huduma ya pamoja ya teksi-Uber. Madereva hao wa teksi za kawaida walitoa wito kwa serikali kupiga marufuku teksi hizo za Uber wakisema kuwa zimewaharibia biashara.

0 comments:

Chapisha Maoni