Nyota wa tennis raia wa Scotland, Andy Murray ameondolewa katika
mashindano ya US Open kwa kipigo cha seti 3-1 kutoka kwa Mserbia Novak
Djokovic kwenye hatua ya robo fainali.
Murray alipoteza pambano hilo kwa seti 7-6, 6-7, 6-2, 6-4 mbali na kiwango kizuri alichoonyesha.
Kwa ushindi huo, Djokovic atakwaana na Mjapan, Kei Nishikori katika nusu fainali ya michuano hiyo.




0 comments:
Chapisha Maoni