Mkazi wa Kijiji la Luganga, Wilaya ya Mufindi, Iringa,
alikozaliwa Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi
Ballali analazimika kutumia saa 32 kufika katika kaburi la kiongozi huyo
lililopo eneo la Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
Ndugu wa Ballali (pichani) wanaweza kutaka kwenda
kuona kaburi la ndugu yao, kutokana na ukweli kwamba wengi wao
hawakuwahi kupata fursa ya kumzika Gavana huyo ambaye alikuwa kiongozi
wa juu kabisa wa taasisi kubwa inayosimamia masuala ya fedha na uchumi
wa nchi.



0 comments:
Chapisha Maoni