Jumapili, Juni 01, 2014

MAMA YAKE ZITTO KABWE AMEFARIKI DUNIA

Mwanasiasa nguli nchini Tanzania Zitto Zubeiry Kabwe ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ametangaza kifo cha mama yake mzazi asubuhi ya leo, nanukuu maandishi yake aliyoyaandika kupitia ukurasa wake wa Facebook:
My mother has just passed away. Inna lillah wainna illaih raajiun

0 comments:

Chapisha Maoni