Mkoa wa katavi unakabiliwa na tatizo kubwa la kuwa na watoto zaidi ya
1,500 wasiojua kusoma na kuandika, kwenye shule zake za msingi
mbalimbali, na huku mdondoko (Drop outs) ukifikia zaidi ya asilimia 40
kwa shule za msingi na zile za sekondari, hali inayosababisha watoto
wengi kushindwa kumaliza masomo yao kwa sababu mbalimbali ikiwa ni
pamoja na malezi yasiyo sahihi.




0 comments:
Chapisha Maoni