Jumanne, Aprili 08, 2014

NYUMBA YA SERIKALI YAGEUZWA KILABU

Katika hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya wananchi katika kijiji Cha Gua Kata ya Gua Wilayani Chunya Mkoani mbeya wamegeuza Nyumba ya Mtumishi wa Serikali ndani ya kijiji hicho kuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Aidha kwa mujibu wa maelezo toka kwa Mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina moja la Nducha amesema kuwa nyumba hiyo ilijengwa kwa lengo la kuishi Bwanashamba wa Kijiji hicho ambaye kwa sasa hana makazi ya kudumu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa .

0 comments:

Chapisha Maoni