Jumatano, Aprili 09, 2014

MWAKA MMOJA WA UHURU KENYETTA MADARAKANI NCHINI KENYA

Leo hii metimia mwaka mmoja tangu serikali ya Jubilee ilipoapishwa kuchukua madaraka nchini Kenya, chini ya uongozi wa Rais Uhuru Muigai Kenyatta. Mnamo kipindi hicho cha uongozi wa Kenyatta, Kenya imepitia katika misukosuko na changamoto, huku serikali ya rais huyo ikiandamwa na ukosoaji wa wapinzani.

0 comments:

Chapisha Maoni