Jumanne, Aprili 08, 2014

MONALISA: KANUMBA KAONDOKA NA FANS WAKE!

Mwigizaji wa bongo move Monalisa ,anaye fanya vizuri katika industry hiyo ameongea na FT na kueleza kuwa marehemu Steven Kanumba ameondoka na fans wake
“kiukweli nisingependa kumzungumzia sana marehem Kanumba coz hakuna kinachojificha juu ya vitu vikubwa ambavyo tayari alikwisha vifanya ila kwa kweli kanumba amekwenda pamoja na mashabiki wake,simaanishi kama soko la filam limeshuka au limepanda hapana nazungumzia kuwa marehemu alikuwa na mashabiki ambao wao walikuwa wanatizama move za Kanumba tu so baada ya kifo kutokea na wao wakaacha kutazama movi zingine , but steal tuna mkumbuka na tutampenda daima,cha msingi tu kwa sisi ambao bado tupo hai tujitume kwakwel na siyo kufanya mambo ya aajabu alafu mwisho wa siku bongo move tunaonekana hatuna tunacho kifanya wala hakuna kitu ambacho jamii inajifunza kupitia sisi ”monalisa.

0 comments:

Chapisha Maoni