Uongozi wa Young Africans unawaomba wapenzi, wanachama na wadau wa soka kuacha kusoma habari za blog ya Bin Zubeiry kutokana na kuandika taarifa zisizokuwa na ukweli huku lengo lake kubwa likiwa ni kuhakikisha timu ya Young Africans inafanya vibaya kwenye michezo yake na kuwavunja moyo viongozi wake pamoja na wachezaji.
0 comments:
Chapisha Maoni