Jumatano, Machi 05, 2014

KAMA ULIKUWA HUJUI SOMA HAPA UJUE UMUHIMU MWA GOLI LA RONALDO LEO

Cristiano Ronaldo atakua mfungaji bora kwa muda wote wa timu yake ya taifa ya Portugal kama akifunga bao lolote leo katika mchezo dhidi ya timu ya Samuel Eto'o - Cameroon. CR7 kwa sasa yupo sawa na Pauleta wakiwa wote wana mabao 47 kama vinara wa ufungaji kwa taifa hilo.

0 comments:

Chapisha Maoni