Inter Milan wamethibitisha kufikia makubaliano ya kumsajili mlinzi wa
kati na nahodha wa Manchester United Nemanja Vidic,32, kwa msimu ujao.
Kwa kua ataenda huru hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika kati ya Inter na United, kwa hiyo kitu cha msingi ni makubaliano ya Vidic na Inter.
Kwa kua ataenda huru hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika kati ya Inter na United, kwa hiyo kitu cha msingi ni makubaliano ya Vidic na Inter.




0 comments:
Chapisha Maoni