Jumatano, Machi 05, 2014

FIRST 11 YA TIMU YA TAIFA BRAZIL HII HAPA

Zikiwa zimebakia siku 100 tu kombe la dunia lianze huko Brazil, timu ya taifa ya nchi hiyo imetangaza wachezaji  11 wa kwanza katika kikosi kitakachoipigania nchi hiyo (first eleven).
Wachezaji waliotajwa katika kikosi hicho ni: Júlio César, Rafinha, David Luiz, Thiago Silva, Marcelo, Paulinho, Fernandinho, Hulk, Oscar, Neymar, Fred.

0 comments:

Chapisha Maoni