Jumapili, Machi 30, 2014

ANOTHER STEP AHEAD...DIAMOND AENDA KUFANYA VIDEO NYINGINE NIGERIA


Wiki iliyopita Diamond Platnumz alisema anatarajia kusafiri kwenda nchini Nigeria (March 30) kwa ajili ya kufanya video ya wimbo wake mpya aliofanya collabo na mastaa wa huko.  Usiku wa kuamkia leo Platnumz amepost picha Instagram akiwa ameongozana na meneja wake Bab Tale wa Tip Top Connection, wakiwa uwanja wa ndege JNIA tayari kwa safari yao ya Lagos.

0 comments:

Chapisha Maoni