

“Siyo siri jamani ndiyo kashaniroga, nampenda na yeye kaonyesha
upendo wake kwangu, nipo naye na kuhusu huyo Jack Wolper ni maisha tu,
ni rafiki zangu, huwa naona nao katika maeneo tunapiga kiss, ni vitu vya
kawaida lakini sasa niko na Kajala,” alisema.
Hata hivyo, wadada hao wawili wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo hawakuweza kupatikana ili kuzungumzia habari hiyo ambayo ni gumzo ya jiji kwa sasa.
Hata hivyo, wadada hao wawili wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo hawakuweza kupatikana ili kuzungumzia habari hiyo ambayo ni gumzo ya jiji kwa sasa.
0 comments:
Chapisha Maoni