Jumatatu, Februari 24, 2014

BUNGE LA KATIBA BADO KIMEO, HAKUNA KINACHOENDELEA

Shughuli za bunge maalum la katiba zimeendelea kusuasua mjini Dodoma baada ya bunge kushindwa kuendelea na shughuli zake kwa mujibu wa ratiba na kulazimika kuahirishwa hadi Ijumaa ya February 28, 2014, kutokana na kamati ya kanuni kushindwa kumaliza kazi ya kuchambua rasimu ya kanuni kwa muda uliopangwa na kulazimika kuomba muda wa ziada.

0 comments:

Chapisha Maoni