Jumapili, Oktoba 08, 2017

AIRBUS KULETA NDEGE ZITAKAZOTUMIA BETRI

Kampuni ya kutengeneza ndege ya Airbus imetangaza kuwa itaanza kuunda ndege kama hii inayotumia betri.
Ina uwezo wa kubeba waty 4 na kusafiri kwa kasi ya kilomita 120 kwa saa.
Hasa itatumika kuepuka msongamano wa magari pale mtu anapokuwa na dharura. 
Ndege hii mpya inatarajiwa mwaka 2018.

0 comments:

Chapisha Maoni