Jumamosi, Januari 23, 2016

MUGABE AREJEA KAZINI

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe alirudi nyumbani Ijumaa usiku kutoka likizo yake ya kila mwaka akiwa katika hali nzuri ya afya,na akamaliza uvumi kuwa yeye alikuwa amepata ugonjwa wa mshtuko wa moyo.
Gazeti la Herald siku ya Jumamosi (Leo) walichapisha picha za Mugabe akiwasili katika uwanja wa ndege wa Harare International Airport ambapo alikuwa ameandamana na mkewe Grace, binti Bona na mume wake na viongozi waandamizi wa serikali.

0 comments:

Chapisha Maoni