Jumanne, Septemba 23, 2014

UGANDA WAKATAA CONDOM, WADAI ZINAWABANA

Hakika Aliyesema Kuwa Ukistaajabu Ya Musa Utayaona Ya Firauni Hakukosea Kwani Hivi Majuzi WANAUME Wa Nchini Uganda Wamekishitaki KIWANDA Cha Kutengeneza Mipira Ya Kiume ( Condoms ) Kwa Kosa La Kukithiri Kwao Kila Kukicha Kutengeneza Condoms Za KIUME ambazo Ni Ndogo Kwao ( Na Hapa Naomba Ieleweke Kwamba Hizo Condoms Zenyewe Wanazozilalamikia Ni Kama Hizi Zetu Za Salama au Dume Na Nyingi Nyinginezo Ambazo Unaweza Hata Ukazijaza Maji Ndoo 3 hadi 5 ).
Sina Uhakika Na Aina Ya MIGEGEDO Waliyonayo Wanaume Wa Kiganda Na Inasemekana Kuwa Kumbe Wanaume Wa Kiganda Ndiyo Wanaongoza Kwa Kuwa Na MIGEGEDO Afrika Kama Siyo Dunia Nzima! Kweli Dunia Ina Mambo. Nawasilisha.
Toka Jamii Forum

0 comments:

Chapisha Maoni