Jumatatu, Septemba 29, 2014

MWANAMUZIKI WA BONGO FLEVA AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo Fleva aliyewahi kutamba na nyimbo kama 'Kua uone', 'Usimdharau usiyemjua', Said Salim 'Side Boy Mnyamwezi' amefariki dunia leo katika Hospitali ya Nyangao iliyopo Mkoani Lindi. Mtandao wa Fichuo Tz bado unafuatilia undani wa kifo chake na hata kile kilichosababisha mauti ya Side Boy Mnyamwezi. Tunatoa pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huu. R.I.P Side Boy Mnyamwezi.

0 comments:

Chapisha Maoni