Alhamisi, Juni 12, 2014

WAKATI KOMBE LA DUNIA LIKIANZA LEO, WAFAHAMU WACHEZAJI WATAKAO LAZIMIKA KUFUNGA KATIKA MWEZI RAMADHANI

Jua wachezaji maarufu wa Kiislam watakaolazimika kufunga Ramadhani (28 June) wakati Kombe la Dunia likiwa linaendela huko Brazil.
France:
Karim Benzema - Real Madrid
Mamadou Sakho - Liverpool
Bacary Sagna - Arsenal
Moussa Sissoko - Newcastle
Ivory Coast:
Yaya Toure - Manchester City
Kolo Toure - Liverpool
Gervinho - Roma
Cheick Tiote - Newcastle

Bosnia: Eden Dzeko Manchester City na wachezaji karibia wote wa taifa hilo.
Belgium:
Eden Hazard - Chelsea
Marouane Fellaini - Manchester United
Adnan Januzaj - Manchester United
Moussa Sidi Yaya Dembélé - Tottenham

Switzerland:
Xherdan Shaqiri - FC Bayern Munich
Gökhan İnler - Napoli

Germany:
Mesut Ozil - Arsenal
Sami Khedira - Real Madrid
Shkodran Mustafi - Samporia

Ghana:
Suleyman Ali Muntari - AC Milan na asilimia 35 ya kikosi cha Ghana

Hutokea kwamba baadhi ya wachezaji wamejipa ruhusa ya kutokufunga Ramadhani katika kipindi cha mashindano makubwa lakini kuna baadhi hushikilia msimamo wa kuendelea kufunga.
Unadhani Ramadhani inaweza kuathiri uwezo wao ama utawaongezea ari?

0 comments:

Chapisha Maoni