Jumatano, Juni 11, 2014

WAIGIZAJI JENGUA NA BI. MWENDA WAONESHANA MAHABA LIVE MSIBANI

Katika hali ya kushangaza, waigizaji wakongwe, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ na Jengua walioneshana malovee msibani kwa kuitana mume na mke.Ishu hiyo ilitokea juzi, Jumatatu kwenye msiba wa nguli wa vichekesho nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ ambapo paparazi wetu aliwashuhudia wawili hao wakiitana bebi huku wakifuatana kila sehemu.Paparazi wetu alipomuuliza Jengua kuhusiana na ukaribu huo msibani, alisema haoni tatizo kuwa mpenzi wa Bi. Mwenda lakini mama huyo alikataa na kusema labda katika filamu tu.

0 comments:

Chapisha Maoni