Jumanne, Juni 03, 2014

VIFO VYA WASANII KUENDELEA NCHINI HADI APRIL MWAKANI

BAD NEWS!!!!!!!!!! Mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein leo ametembelea ofisi za Global Publishers na kufunguka kuhusu vifo vya wasanii vinavyoendelea nchini. Maalim Hassan amesema vifo hivyo vitaendelea mpaka mwakani mwezi Aprili.

0 comments:

Chapisha Maoni