Alhamisi, Juni 12, 2014

SASA FABREGAS KUITUMIKIA CHELSEA KWA MIAKA MITANO! NI BAADA YA KUSAINI MKATABA

Cesc Fabregas amekamilisha rasmi taratibu za kuhamia Chelsea huku klabu yake ya zamani Arsenal ikiamua kutokutumia kifungu cha kumrudisha kwa maelekezo ya meneja wa klabu hiyo kua haitajiki Emirates kwa salsa.
Inaaminika kwamba Barcelona imepokea £30million kutoka Chelsea kama ada ya kiungo huyo mwenye miaka 27 na kuingia mkataba wa miaka mitano na Fabregas kutumikia klabu hiyo ya Stamford Bridge.
Inaaminika maamuzi ya Fabregas yamekuja baada ya kuona jitihada za Chelsea kumfuata mpaka Brazil aliko sasa na timu yake ya taifa Spain huku klabu ya Arsenal ambayo kama ingemtaka isingeuzwa klabu nyingine yoyote zaidi ya hiyo kutokuonesha kumtaka.

0 comments:

Chapisha Maoni