Rais Barak Obama amesema
anaangalia uwezekano wa kutumia njia mbali mbali za kuisaidia Iraq
kukabiliana na mashambulizi wanamgambo wa kiislam wanadhibiti eneo kubwa
la kaskazini mwa Iraq .
Hata hivyo maafisa wa Marekani wamesema wanaendelea na majadiliano ili kuona kama vikosi vya kijeshi katika taifa.
Nchini Iraq kwenyewe wanamgambo hao wamepata
udhibiti zaidi mashariki mwa jimbo la Diyala, lakini mashambulizi ya
anga ya vikosi vya serikali yameelezekwa magharibi zaidi eneo la Samara.
Katibu wa NATO Anders Fogh Rasmussen amesema
hali hiyo haivumiliki juu ya vitendo dhidi ya wanamgambo hao wa kiislam
japo amesema kuwa Iraq yenyewe inapaswa kutafuta namna ya mgogoro huo.
Msemaji wa Ikulu ya Marekani Jen Psaki ametoa
ufafanuzi akidai kuwa watalaam wao bado wanaendelea na majadiliano na
kwamba si nia ya nchi yake kurejesha vikosi vyake Iraq japo kuwa inaona
haja ya kutoa msaada kwa nchi hiyo kutokomeza makundi hayo.
0 comments:
Chapisha Maoni