Shearer alisema:
Rooney alipata nafasi na akashindwa kuitumia
alisema.
Kwenye Kombe la Dunia, labda unapata nafasi moja tu kwenye mchezo na unatakiwa ufunge. Balotelli alipata nafasi moja, goli moja.
Uliona kilichotokea kwa [Arjen] Robben na [Robin] van Persie walipopata nafasi [mchezo wa Netherlands' 5-1 dhidi ya Spain siku ya Ijumaa]. Walifunga. Ndicho unachotakiwa kufanya katika mashindano haya.Shutma zimekua nyingi kwa Rooney, je unadhani anastahili? vipi kiwango chake unavyokiona katika mchezo uliopita dhidi ya Italy Kombe la Dunia?
Wayne anaweza asipate tena nafasi nzuri kama aliyoipata katika mchezo huu. Anaweza asipate usingizi akiangalia alivyokosa. Nafasi za aina ile unatakiwa kufunga.
Ama unadhani ana kiwango kidogo lakini watu wanatarajia makubwa?
0 comments:
Chapisha Maoni