Ijumaa, Juni 13, 2014

CHANZO CHA MOTO WA SOKO LA KARUME HIKI HAPA

Uchunguzi uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na viongozi wa wafanyabiashara wa soko la Mchikichini eneo la Karume Ilala jijini Dar es Salaam umebaini kuwa moto ulioteketeza soko hilo ulisababishwa na uunganishwaji holela wa umeme katika vibanda vilivyo ndani ya soko hilo.

0 comments:

Chapisha Maoni