Alhamisi, Mei 15, 2014

MCHUNGAJI AFUMWA LIVE NA MUUMINI WAKE KANISANI, MWANZO ILIKUWA MAOMBI, MWISHO IKAWA....

Mara nyingi huwa nikitoa habari kuhusu ufuska unaofanywa na viongozi wa dini huwa inakua ngumu sana watu kuamini kile ninachokiandika, lakini naamini baada ya kushuhudia video iliyopo hapa chini sasa utaanza kuelewa kile ninachokisema. Kuna mchungaji amefumwa na kamera ya siri wakati akijidai kumfanyia maombi binti ambaye haikufahamika mara moja kuwa anamatatizo gani mpaka akafikia hatua ya kufanyiwa maombi lakini wakati sala ikiendelea mara mchungaji huyo akaanza kuingiza mkono katika matiti ya mwanamke, mengine yaliyoendelea tazama mwenyewe katika video hii...
https://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=OVGzJ8EyiUY

0 comments:

Chapisha Maoni