Jumatatu, Mei 19, 2014

JINSI ADAM KUAMBIANA ALIVYOAGWA LEO JIONI NYUMBANI KWAKE BUNJU, DAR ES SALAAM

MWILI wa mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana umeagwa nyumbani kwake Bunju B, Dar ambapo ndugu, jamaa, wanasiasa, marafiki wameshiriki tukio hilo. Kesho asubuhi mwili utapelekwa Viwanja vya Leaders kuagwa na baadaye kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii.
Mwili wa marehemu ukiwasili nyumbani Bunju B.
Mwili wa marehemu ukishushwa kutoka kwenye gari Bunju B.
Mwili wa marehemu Adam Kuambiana ukiongozwa kuingia ndani nyumbani kwake
Wasanii na mastaa mbali mbali wakiwa msibani
Mwili wa marehemu Adam Kuambiana ukitolewa kwa ajili ya kuagwa.

0 comments:

Chapisha Maoni