Mashabiki wa timu ya taifa ya Uingereza wamekasirishwa na maamuzi ya
meneja wa taifa hilo Roy Hodgson kumjumuisha Tom Cleverely katika kikosi
cha sasa cha Uingereza, na wamefikia mbali kwa kukusanya saini zao
kupinga kiungo huyo wa Manchester United kushiriki michuano ya Kombe La
Dunia huko Brazil.




0 comments:
Chapisha Maoni