Jumatatu, Machi 03, 2014

SAMUEL SITTA ATEULIWA KUGOMBEA NAFASI YA M/KITI BUNGE MAALU LA KATIBA

KAMATI ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi ( C C M ) imempitisha Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kwa kauli moja kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

0 comments:

Chapisha Maoni