Shamsa alisema, anakerwa sana na tabia ya wanawake wanaomfuata mumewe
kwani hata wale wa ‘zilipendwa’ wameanza kujirudisha upya kitu ambacho
hatakubaliana nacho.
“Hawa wanawake hawana adabu wala aibu, ninawatahadharisha tu, wakae
mbali na mume wangu kabla sijawaanika hadharani kwenye vyombo vya
habari, kwanza hawawezi kufanikiwa, najiamini,” alisema Shamsa.




0 comments:
Chapisha Maoni