Mara ya mwisho 50 Cent aliwachokoza Rick Ross na P. Diddy kwa ku-post
picha ambayo inaonyesha kama marafiki hao wanataka ku-kiss wakiwa
kwenye hatua kupeana hug.
50 Cent amerudia tena kwa ku-post picha ile mwanzo ikiunganishwa na picha mpya ya P.Diddy akiwa na mdau wa muziki Steve Stoute.
Chini ya hiyo picha aliandika “I ain’t saying nothing, but something a
in’t right. Lmao.”
Aliandika hivyo ajaribu kuonyesha uwezekano wa hawa watu watatu kuwa na uhusiano ambao sio mzuri kati yao.
50 ali-post picha hiyo kwenye ukurasa wake wa instagram na kuitoa baada ya muda mfupi.





0 comments:
Chapisha Maoni