Mchezaji wa timu ya soka Manchester United, Wayne Rooney ameongea mbele ya waandishi wa habari nakusema kuwa: "Moyes ni meneja mzuri na wakushangaza . amefanya kila kitu kwaajili ya timu, lakini wachezaji wanatakiwa kupigana kufa kupona ili wahakikishe wanafanya vizuri, na ninauhakika tutafanya hivyo."




0 comments:
Chapisha Maoni