Jumapili, Januari 05, 2014

BASI LA ALLYS LAACHA NJIA MLIMA SEKENKE NA KUINGIA KORONGONI

Basi la Allys toka arusha kwenda Mwanza limeacha njia na kuingia kwenye mteremko wa mlima Sekenge. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo break zilifelI. Watu wote wametoka salama.

0 comments:

Chapisha Maoni