
chanzo:Gari la wazi linalomilikiwa na kampuni ya kiroyera tours lililokuwa limewabeba limeshindwa kupanda mlima na kurudi nyuma kisha kuanguka.
wote wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa kagera lakini hali ya papa kishaju inaelezwa kuwa ni mbaya
UPDATE
Taarifa ambazo nimepokea kutoka kwa Bw will ruta maarufu kama Will kiroyera ambaye ndiye mmiliki wa gari lililohusika na ajali na ambaye ni mmoja wa wahusika wa shoo hiyo amenieleza kwamba Saida karoli amepata majeraha kidogo na kwamba shoo ya Usiku itaendelea kama kawaida,ila papa kishaju bado huyo hospitali ya mkoa wa kagera kwa matibabu.
0 comments:
Chapisha Maoni