Jumanne, Aprili 04, 2017

RAIS MAGUFULI AMEMTEUA KITILA MKUMBO KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo amefanya mabadiliko ya Makatibu Wakuu kwa baadhi ya Wizara  ambapo katika mabadiliko hayo amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
Wateule wote wa Rais wataapishwa kesho tarehe 05 Aprili, 2017 saa 3:00 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Maelezo zaidi ya habari hii yako katika kielelezo hiki hapa chini

0 comments:

Chapisha Maoni