Ijumaa, Machi 31, 2017

WATANZANIA NA WAGANDA HAWANA KWA KURIPOTI MASUALA YA UFISADI!!!

Utafiti mpya unaonyesha kwamba Uganda na Tanzania zinasalia nyuma kuripoti matukio ya ufisadi kanda ya Afrika mashariki .
Ripoti hiyo kwa jina ‘Corruption reporting in East Africa” inaonyesha kwamba Rwanda inaongoza kwenye juhudi za kupamba na ufisadi ikifuatiwa na Burundi.

0 comments:

Chapisha Maoni