Jumatatu, Machi 27, 2017

RIPOTI YA TUME: FARU JOHN ALIKUFA NA SIO KUUAWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkemia Mkuu wa Serikali , Profesa Samwel Manyele wakati alipowasilisha taarifa ya tume ya uchunguzi wa suala Faru John baada ya kukabidhi taarifa hiyo , Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi27, 2017.
Kifo cha Faru John kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele jijini Dar es Salaam leo.
Tume iliyoundwa kwa ajili ya kuchunguza kifo cha Faru John imethibitisha kuwa Faru huyo alikufa katika eneo la Sasakwa.
Grumeti kutokana na kukosa matunzo, uangalizi wa karibu na matibabu alipoumwa.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof.SamwelManyele Kwenye ripoti ya uchunguzi wa Kifo cha Faru John akikabidhi kwa Waziri Mkuu.

0 comments:

Chapisha Maoni