Taarifa ambayo Fichuo imezipata zimethibitisha kuwa waliokutwa na mauti katika ajali hiyo ni watu wawili, mwanamume na mwanamke ambao mpaka sasa hatujawafahamu kwa majina.
Majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa
Ruvuma, huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika.



0 comments:
Chapisha Maoni