Mrembo wa Kenya aitwaye Vera Sidika a.k.a Vee Baby aliwahi kukiri
mwenyewe kuwa mwili wake ndio biashara yake katika interview
aliyofanyiwa na larry Madowo kwa mijibu wa Nairobiwire,na inavyoonekana
hayuko nyuma na kanuni za biashara,si wote tinajua ‘biashara ni
matangazo?najua umesema ndio.Mrembo huyo ameeanzisha application yake ya
simu inayoitwa jina lake’vera sidika’ inayopatikana google play store’
kwa ajili ya kuwaharahisishia mahabiki wake kupata huduma ya picha
“asset’ yake kwa urahisi zaidi.





0 comments:
Chapisha Maoni