FT: Stoke 1-0 Arsenal. Penalti ya dakika za mwisho iliyopigwa na
Jonathan Walters ilitosha kuipa poitni zote tatu na kusababisha the
Gunners kupoteza pointi tatu muhimu katika vita vyao vya kugombea
ubingwa wa Uingereza.
Arsenal kwa sasa wapo nyuma kwa pointi nne vinara wa ligi hiyo Chelsea walioisambaza Fulham kwa bao 3-1.
Arsenal kwa sasa wapo nyuma kwa pointi nne vinara wa ligi hiyo Chelsea walioisambaza Fulham kwa bao 3-1.




0 comments:
Chapisha Maoni