Ijumaa, Machi 28, 2014

J'ODIE ATUPA KETE NYINGINE KATIKA MASIKIO YA MASHABIKI WAKE, NI WIMBO UITWAO SUGAR COCONUT, USIKILIZE NA KUDOWNLOAD HAPA

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria J'odie aliyewika na wimbo Kuch Kuch Baby alioutoa mwaka 2011 na hatimaye kuvuma sana Tanzania mwaka 2013-2014 sasa amekuletea kazi nyingine inaitwa Sugar Coconut, isikilize ama idownload katika link hii https://www.hulkshare.com/search/J'odie Sugar Coconut video.mp3

Video yake nitakuletea punde tu kupitia mtandao wako huu.

0 comments:

Chapisha Maoni