Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria J'odie aliyewika na wimbo Kuch Kuch Baby alioutoa mwaka 2011 na hatimaye kuvuma sana Tanzania mwaka 2013-2014 sasa amekuletea kazi nyingine inaitwa Sugar Coconut, isikilize ama idownload katika link hii https://www.hulkshare.com/search/J'odie Sugar Coconut video.mp3
Video yake nitakuletea punde tu kupitia mtandao wako huu.
0 comments:
Chapisha Maoni