STAA wa sinema za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amepatwa na ugonjwa wa ajabu ambao haujulikani.
Katika mazungumzo na paparazi wetu, Amanda alisema: “Naumwa sana na
nimechukua vipimo vingi ikiwemo malaria na presha pale Agha Khan
(hospitali) lakini hakijagundulika chochote ingawa mwili wote unauma.”
0 comments:
Chapisha Maoni