Miaka 173
iliyopita mlima mrefu zaidi duniani uligunduliwa na mpanda milima wa
Kiingereza kwa jina la George Everest na mlima huo ukapewa jina lake.
Hata hivyo, George Everest alishindwa kufika juu ya kilele cha mlima
huo.
Wapanda milima wawili kutoka India na Uingereza walifanikiwa kufika
juu ya kilele cha mlima huo mwaka 1953.
Mlima Everest una urefu wa mita 8800 na ni katika silsila ya milima ya Himalaya ambayo inaanzia kaskazini mwa India hadi magharibi mwa Uchina.
Mlima Everest una urefu wa mita 8800 na ni katika silsila ya milima ya Himalaya ambayo inaanzia kaskazini mwa India hadi magharibi mwa Uchina.




0 comments:
Chapisha Maoni