Wakulima wa mkonge nchini wameiomba Serikali kuondoa kodi sumbufu ikiwamo ya
ardhi,OSHA, kodi ya mafuta , VAT kwenye nyuzi na ushuru wa mazao ili kupunguza
mzigo wa uendeshaji.Akizungumza mbele ya Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Kilimo na Mazao,,Beatus Balema alisema lengo la kutoa ombi hilolinatokana na mkusanyiko wa kodi nyingi katika sekta ya mkonge.



0 comments:
Chapisha Maoni