Alhamisi, Septemba 26, 2013

KENYA YAPIGWA TENA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI

Watu wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya kwenye mpaka na Somalia na kuwaua polisi wawili, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaidi ya 11.
Jana pia kulikua na shambulio sehemu inaitwa Wajir kwenye soko ambapo mtu mmoja alifariki

0 comments:

Chapisha Maoni