Msanii wa Bongo muvi ambaye pia aliwah kuwa mke wa mfanyabiashara
maarufu nchini marehemu Mohamed Mpakanjia bibie Aisha Bui anadaiwa
kukamatwa na madawa ya kulevya
nchini Brazil.. Mtandao huu bado
unafatilia kwa ukaribu ishu hii na utawaletea habari kamili muda mchache
ujao.
0 comments:
Chapisha Maoni